Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ yaitaka Israel kuchukua hatua za kuboresha hali ya misaada ya kibinaadamu huko Gaza. Urusi yatumia kura yake ya turufu kuzuia kurefushwa kwa jopo la UM linalohusika na vikwazo vya nyuklia kwa Korea Kaskazini. Watu 45 wamekufa kufuatia ajali ya basi nchini Afrika Kusini.