1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

 | 30.07.2010 | 10:00 UTC

Idadi ya wasio na kazi yapanda

Wakati  huo  huo , idadi  ya  watu  ambao  hawana  ajira imepanda  kwa  kiasi  cha  watu  39,000  katika  mwezi  wa Julai  ikilinganishwa  na  mwezi  uliopita. Lakini   idara  ya kazi  nchini  Ujerumani  imesema   kuwa  uchumi  unarejea katika  hali  nzuri, ikilinganishwa  na  kipindi  kama  hicho mwaka  uliopita, hivi  sasa  kuna  watu  wachache  zaidi ambao  hawana  ajira. Kiwango  cha  watu  wasio  na   ajira kinafikia  asilimia  7.6,  ambapo  watu  milioni  3.2 wamejiandikisha  kuwa  hawana  ajira. Wiki  iliyopita , kiashirio   cha  hali  ya  biashara  kinachofuatiliwa   sana cha  IFO, kilipanda  kwa  kiwango  cha  juu   katika  muda wa  miaka  mitatu na  kuashiria  kuwa  makampuni  ya Ujerumani  yanamatumaini  makubwa  ya   hali  ya baadaye.



 
Wafanyakazi
Waliochutama kutoka kushoto: Sekione Kitojo,Halima Nyanza,Josephat Charo na Ramadhani Ali. Waliosimama kutoka Kushoto: Susanne Bergers-Rose,Abdul Mtullya,Saumu Mwasimba,Mohamed Abdulrahman,Othman Miraji, Andrea Schmidt,Thelma Mwadzaya, Mohamed Dahman,Oumilkher Hamidou,Samia Othman na Nina Markgraf

DW-TV EUROPE live

Kick off! Countdown

We're sorry, due to legal issues this content can not be transmitted as live stream.

If you are inside the United States, it is still possible for you to enjoy DW-TV. For more information, please click here.

Tamasha la Beethoven
Beethovenfest Bonn
Kiswahili On Your Desktop via RSS
RSS